Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Wakafika Thesalonike, ambapo palikuwa na sinagogi la Wayahudi.Hapa tunaona jambo moja lililorahisisha kazi ya kueneza Injili wakati ule. Jambo hili ni kwamba katika kila mji walipofika katika safari zao za misioni neno la Mungu lilifahamika tayari. Maana katika kila mji palikuwapo kundi la Wayahudi waliokuwa na sinagogi waliposoma na kujifunza neno la Mungu. Kwa njia hiyo hata baadhi ya Wayunani walikuwa wamelisikia neno la Mungu na kumwamini Mungu wa Wayahudi. Ni hao waitwao "Wayunani waliomcha Mungu"(m.4, 17).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Lead Through Prayer

Peace on Earth: A 5-Day Advent Devotional

Transformational Days of Courage for Women

The Book of Psalms (30-Day Journey)

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

God Says I Am: Embracing Peace & Walking in Power

When You’re Desperate: 21 Days of Honest Prayer

Lost Kings | Steward Like a King

Come Holy Spirit
