Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Tafakari maneno haya pamoja na Sefania 2:3, Mtafuteni Bwana, enyi nyote mlio wanyenyekevu wa dunia, ninyi mliozitenda hukumu zake; itafuteni haki, utafuteni unyenyekevu; huenda mtafichwa katika siku ya hasira ya Bwana. Tunaitwa kumtafuta Mungu kila siku ya maisha yetu kwa kutega sikio letu kusikia neno lake ili atushikie hatua za mienendo yetu. Tukiweka bidii katika jambo hili, Mungu atatufinyanga upya tupate kipawa cha kumcha na kutushikamanisha naye. Ufahamu ulio bora ni ule unaomwelekea Mungu. Kwa hiyo wito wa leo ni kuweka bidii katika kumtafuta Mungu. Fanya hivyo kwa kuomba na kujifunza Neno lake kwa bidii. Hivyo utaongezeka maarifa ya kumwishi Mungu!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Lead Through Prayer

Peace on Earth: A 5-Day Advent Devotional

Transformational Days of Courage for Women

The Book of Psalms (30-Day Journey)

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

God Says I Am: Embracing Peace & Walking in Power

When You’re Desperate: 21 Days of Honest Prayer

Lost Kings | Steward Like a King

Come Holy Spirit
