Somabiblia Kila Siku 3Sample

Zaburi 120-134 hujulikana kama Nyimbo za wakweao, kwa kuwa ziliimbwa wakati wa kwenda Yerusalemu kwa sherehe kubwa za mwaka. Zaburi ni kilio cha mtu aliyechoka kwa uonevu. Anaishi mbali, tena kati ya watu wenye tabia ya kufanya vita. Uongo na hila zao ni kama mishale inayomchoma nafsini. Kwa hiyo anatamani kufika Yerusalemu, mahali pa amani. Je, katika shida zako humkimbilia nani? Mungu ndiye kimbilio letu. Amani yetu iko kwa Yesu. Tumtwike yeye fadhaa zetu zote(1 Pet 5:7).
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

Awakening Faith: Hope From the Global Church

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Sharing Your Faith in the Workplace

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

Rebuilt Faith
