Somabiblia Kila Siku 3Sample

Musa alikuwa amepata tena mashaka juu ya uwezo wake wa kunena. Na kweli akawa ni Haruni aliyenena kwa Farao si Musa. Alijishuhudia mwenyewe kwamba "mimi ni mtu mwenye midomo isiyo tohara". Lakini Mungu kwa uwezo wake alimfanya Musa kuwa nabii mkuu kati ya manabii wote(Hajainuka tena katika Israeli nabii kama Musa, ambaye Bwana alimjua uso kwa uso; Kum 34:10). Mungu hutuita jinsi tulivyo, lakini tukijiachia kwa Mungu, yeye anaweza kutufanya kuwa wakuu katika ufalme wake. M.9-13. Hata Shetani anaweza kufanya miujiza, lakini katika kushindana na miujiza ya Mungu hushindwa!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Living Like Jesus in a Broken World

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Faith @ Work

Drive Time Devotions - Philippians

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Faith in Trials!
