Somabiblia Kila Siku 3Sample

Hayo nimewaambieni mpate kuwa na amani ndani yangu. Ulimwenguni mnayo dhiki; lakini jipeni moyo; mimi nimeushinda ulimwengu (m.33). Yesu amewaeleza wazi yale yatakayotokea kwake (m.28-30). Kwa hiyo yatakapotokea, wataamini ya kuwa yeye ndiye. Wataona ushindi wake na watakuwa na amani ndani yake. Yesu ni Bwana wa amani(2 The 3:16)! Ukimpokea yeye moyoni mwako utapata amani ya kweli! Amani nawaacheni; amani yangu nawapa; niwapavyo mimi sivyo kama ulimwengu utoavyo. Msifadhaike mioyoni mwenu, wala msiwe na woga(Yn 14:27). Dhambi zako zimefutwa kwa damu yake!
Scripture
About this Plan

SomaBiblia Kila Siku 3 ni mpango mzuri wa kukusaidia kusoma Biblia kwa njia rahisi. Ufafanuzi wa somo la kila siku unakupa mwanga na kiu ya kuendelea kulitafakari Neno la Mungu ukiwa peke yako au pamoja na wenzako.
More
Related Plans

Living Like Jesus in a Broken World

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Faith @ Work

Drive Time Devotions - Philippians

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Faith in Trials!
