Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Mfalme Hezekia aliposikia jinsi mfalme wa Ashuru alivyomtukana Mungu aliingiwa na jazba nzuri. Alijinyenyekesha, akararua nguo zake na kuvaa magunia, akaingia nyumbani mwa BWANA na kuomba ushauri kutoka kwa nabii Isaya (m.2). Nabii alituma ujumbe wa kumwondoa wasiwasi Mfalme Hezekia kwamba asiogope, kwani matusi wanayopata watumishi wa Mungu ni matusi kwa Mungu mwenyewe. Kwa hiyo, siyo vizuri kujibishana. Badala yake, ni vizuri kukumbuka kwamba Mungu anasikia, na anangojea tu tumhusishe.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
