Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Mfalme Hezekia aliugua sana. Mungu alimtuma nabii Isaya kumwambia mfalme ajiandae kufa, hatapona, kwani ugonjwa alio nao ni wa mauti. Tena Hezekia anajua pa kukimbilia. Anamsihi Mungu kwa machozi mengi akilia sana sana:Nakusihi, Bwana, ukumbuke sasa, jinsi nilivyokwenda mbele zako katika kweli na kwa moyo mkamilifu, na kutenda yaliyo mema machoni pako(m.3). Tujiulize: Je, tunamkimbilia nani wakati wa magumu? Maombi yetu yakoje? Tuna ujasiri wa kumkumbusha BWANA juu ya kuishikatika kweli? Kwamoyo mkamilifu? Na katikakutenda yaliyo mema? Mungu anasikia maombi na kumrudisha Isaya kwa Hezekia na taarifa za kupona na kuongezewa miaka 15.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
