Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Wajumbe wa Ashuru walionyesha jeuri kwa kutumia Kiyahudi ili Wayuda wasikie na kushawishiwa kujisalimisha. Walisisitiza kwamba kwa kumtegemea BWANA, Hezekia alikuwa anawadanganya watu, kwani hakuwepo mungu aliyewaokoa watu wake katika mikono ya mfalme wa Ashuru:Je! Yuko mungu mmoja wa mataifa aliyewaokoa watu wake wakati wo wote na mkono wa mfalme wa Ashuru? Iko wapi miungu ya Hamathi, na ya Arpadi? Iko wapi miungu ya Sefarvaimu, na ya Hena, na ya Iva? Je! Imeuokoa Samaria na mkono wangu? Katika miungu ya nchi hizi zote, ni miungu gani iliyookoa nchi yao na mkono wangu, hata Bwana auokoe Yerusalemu na mkono wangu?(m.33-35). Jambo zuri alilofanya Hezekia ni kuwaonya watu wake wasijibu mashambulizi na kebehi walizosikia.Watu wakanyamaza kimya; wala hawakumjibu hata neno moja; maana amri ya mfalme ilikuwa kwamba, Msimjibu neno(m.36). Katika hali kama hiimtu aliye na ufahamu hunyamaza(Mit 11:12). Hezekia alimtukuza Mungu kwa kumwachia Yeye kujibu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Am I Really a Christian?

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

Living Like Jesus in a Broken World
