Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Umtwike Bwana mzigo wako naye atakutegemeza(Zab 55:22). Ndivyo tushuhudiavyo katika somo la leo: Kuna mwanamke anayepata mtoto kwa muujiza. Baada ya miaka michache mwana huyu anakufa, lakini mama yake bado ni imara katika imani, na anaamua aende kumwona Elisha ili kumtwika Bwana tatizo lake. Mama huyu hataki kupata msaada kwa mwingine ila kwa Mungu tu, na tunasoma jinsi imani yake inavyopata thawabu, Elisha anapomrudishia mwanawe akiwa hai. Mungu anajibu maombi yetu, tumtegemee!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

Am I Really a Christian?

Drive Time Devotions - Philippians

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Faith @ Work

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Faith in Trials!
