Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Lengo la miujiza ni watu wapate kumwamini Mungu. Elisha alipokuwa katika chuo kimojawapo cha manabii kulikuwa na njaa kali, hata wakapaswa kula mboga na matunda ya mwituni. Mtu mmoja kwa bahati mbaya alichanganya mboga yenye sumu katika chakula. Kupitia Elisha, Mungu aliponya riziki ile kwa njia ya muujiza. Siku nyingine Mungu aliwalisha watu wake kwa mikate michache kama alivyofanya Yesu. Kuhusu hao waliolishwa na Yesu tunasoma katika Yn 6:14 kwambawalipoiona ishara aliyoifanya, walisema, Hakika huyu ni nabii yule ajaye ulimwenguni. Watu wengine walipata kumwamini Yesu, wengine waliona mikate tu. Wewe umeona nini kutokana na somo la leo?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

Am I Really a Christian?

Drive Time Devotions - Philippians

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Faith @ Work

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Faith in Trials!
