Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Katika utangulizi wa waraka Paulo anajitambulisha wazi kuwa yeye yu nani. Ndiye Mtume wa Kristo Yesu. Kwa hiyo Timotheo apokee waraka wa Paulo kama neno la Mungu kwake. Paulo anamwona Timotheo kuwa mwana wake hasakatika imani.Ndivyo Paulo anavyoandika katika barua yake ya kwanza kwa Timotheo:Kwa Timotheo, mwanangu hasa katika imani. Neema na iwe kwako, na rehema, na amani, zitokazo kwa Mungu Baba na kwa Kristo Yesu Bwana wetu(1 Tim 1:2). Imani hutupa kumwabudu Mungu kwa dhamiri safi katika hali zote, kama Paulo anavyoshuhudia katika m.3a akiandika:Namshukuru Mungu, nimwabuduye kwa dhamiri safi.Pia tunatiana moyo kwa kushikamana na imani pasipo unafiki. Fikiri kidogo jinsi Paulo anavyosema imani ya familia ya Timotheo ilivyomsaidia: Natamani sana kukuona, ... nikiikumbuka imani uliyo nayo isiyo na unafiki, ambayo ilikaa kwanza katika bibi yako Loisi, na katika mama yako Eunike, nami nasadiki wewe nawe unayo(m.4-5). Mimi na wewe tufuate mfano wa Paulo wa kuombeana kwa upendo na kutiana moyo katika huduma ya kueneza Injili.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Rebuilt Faith

Sharing Your Faith in the Workplace

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics
