Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Busara na hekima za kibinadamu haziwezi kutuokoa, bali kulitii Neno la Mungu kwa imani. Ndivyo ilivyo katika somo hili. Kama Jemedari Naamani na mfalme wa Shamu wangepuuza ushuhuda wa yule binti mtumwa wa Kiisraeli, basi shida ya Naamani isingekwisha. Na zaidi sana Naamani angepuuza neno la nabii Elisha kuhusu kuoga katika mto wa Yordani, basi ukoma wake ungebaki. Hata kama tukiona ni jambo dogo ambalo Mungu anatuambia, tulisipuuze Neno lake, bali tulifuata kwa utii wa imani.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

Am I Really a Christian?

Drive Time Devotions - Philippians

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Faith @ Work

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Faith in Trials!
