Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Mungu ametuwekea mambo mawili: Baraka na laana. Naye hutusihi tuchague baraka ili tuwe na uzima:Nazishuhudiza mbingu na nchi juu yenu hivi leo, kuwa nimekuwekea mbele yako uzima na mauti, baraka na laana; basi chagua uzima, ili uwe hai, wewe na uzao wako(Kum 30:19). Miujiza ya kwanza ya Elisha ilikuwa ni mifano na alama za huduma mbili zilizomkabili. Huko Yeriko watu walipopata tabu ya maji yasiyofaa, aliyaletea uponyaji kwa jina la BWANA. Hii ni baraka. Katika mji wa Betheli vijana waliokosa adabu kwa nabii wa Mungu waliuawa kwa dubu. Hii ni laana. Huwaangukia watu wamkataao mjumbe wa Mungu. Tusimdharau BWANA wala yule aletaye ujumbe wake.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

Am I Really a Christian?

Drive Time Devotions - Philippians

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Faith @ Work

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Faith in Trials!
