Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Mungu anatamka kilio katika taifa lake la Israeli. Ni kilio kinachotokana na kipigo chake mwenyewe. Tangu kuchaguliwa kwake, Mungu aliita Israeli “bikira”, akimaanisha anataka awe mume wao wa kiroho, yaani Mungu wao pekee, na watembee katika usafi na upekee huo. Lakini Israeli walijichafua kwa kuiabudu miungu. Hapo Mungu aliudhika. Hata hivyo, pamoja na tangazo la maangamizi makubwa, analia katika maumivu ya upendo,Nitafuteni mimi, nanyi mtaishi(m.4). Katika m.6 anasisitiza jambo hili akirudia kuwaita,Mtafuteni Bwana, nanyi mtaishi. Leo mwaliko huu una maana gani kwako?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
