Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Mungu Baba yetu hutupenda, kwa hiyo hutupa yale tumwombayo. Yesu Kristo anasema,Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu(Yn 16:23b). Kwa maombi, Mungu hutupa nguvu kushinda majaribu na pingamizi za kazi yake kwa njia ya Roho Mtakatifu. Paulo anahamasisha Wafilipi wamwombee aruzukiwe hivyo ili aendelee kuhubiri Injili. Anajua kifo kwake ni lazima na anakifurahia akaishi na Kristo. Lakini kwa kitambo angependa aishi duniani kuwaimarisha Wafilipi. Msomaji, unaonaje bidii yako kueneza Injili uwapo duniani? Waona kuwa “kuishi kwako ni Kristo”?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Genesis | Reading Plan + Study Questions

The Artist's Identity: Rooted and Secure

Evangelistic Prayer Team Study - How to Be an Authentic Christian at Work

Experiencing Blessing in Transition

Jesus When the Church Hurts

The Gospel of Matthew

The Wonder of Grace | Devotional for Adults

Finding Freedom: How God Leads From Rescue to Rest

One New Humanity: Mission in Ephesians
