Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Mungu Baba yetu hutupenda, kwa hiyo hutupa yale tumwombayo. Yesu Kristo anasema,Mkimwomba Baba neno lo lote atawapa kwa jina langu(Yn 16:23b). Kwa maombi, Mungu hutupa nguvu kushinda majaribu na pingamizi za kazi yake kwa njia ya Roho Mtakatifu. Paulo anahamasisha Wafilipi wamwombee aruzukiwe hivyo ili aendelee kuhubiri Injili. Anajua kifo kwake ni lazima na anakifurahia akaishi na Kristo. Lakini kwa kitambo angependa aishi duniani kuwaimarisha Wafilipi. Msomaji, unaonaje bidii yako kueneza Injili uwapo duniani? Waona kuwa “kuishi kwako ni Kristo”?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

The Holy Spirit: God Among Us

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life
