Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Wana wa Mungu wanapaswa kuishi kwa hofu na kutetemeka mbele za Mungu awaonaye sirini, bila kusimamiwa au kukaguliwa na mchungaji, wakijua kwamba ni Mungu awawezeshaye katika kutenda na kuamini kwao. Kwa kuwa Mungu ndiye atendaye ndani yao, na kwa kuwa yote atendaye Mungu ni matakatifu, maisha ya wana wa Mungu yataonyesha utakatifu. Hii ndiyo sababu wana wa Mungu ni nuru ya ulimwengu (Mt 5:14,Ninyi ni nuru ya ulimwengu. Mji hauwezi kusitirika ukiwa juu ya mlima). Leo omba, Mungu akusaidie kuishi kama nuru kwa wenzako.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Holy Spirit: God Among Us

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

Sharing Your Faith in the Workplace

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen
