Soma Biblia Kila Siku Januari/2022Sample

Tunalosoma hapa ni tukio la pekee. Ni nini hasa yaliyotokea usiku ule? Ni vigumu kueleza kikamilifu. Yakobo alishuhudia: Nimeonana na Mungu uso kwa uso, na nafsi yangu imeokoka (m.30). Kwa hiyo yule mtu aliyekuja kushindana naye ni Mungu mwenyewe! Alikutana na Hofu ya Isaka, Mtakatifu! Na Yakobo alishinda (m.28, Jina lako hutaitwa tena Yakobo, ila Israeli, maana umeshindana na Mungu, na watu, nawe umeshinda)! Kwa jinsi gani? Badala ya kuangamizwa kutokana na dhambi zake akapata msamaha, akabarikiwa (m.26 na 29, Sikuachi, usiponibariki. … Akambariki huko). Yakobo akashinda, akilia na kumsihi Mungu, imeaelezwa katika Hos 12:4. Hii ni hali ya toba na unyenyekevu inayompendeza Bwana (unaweza kutafakari zaidi jambo hili kwa kusoma Isa 57:15-19).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Januari/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa situ husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure.
More
Related Plans

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track

Jesus Is Our "Light of the World"

Made for More

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

Love People?!

Move People Through God Alone
