Soma Biblia Kila Siku Januari/2022Sample

Huko nyuma tumesoma jinsi Isaka na Yakobo walivyooa kwa heshima na utaratibu mzuri. Tena hawakuoa watu wasiomjua Mungu. Ndivyo inavyotakiwa kwa mtu wa Mungu. ... mwepukane na uasherati; kila mmoja wenu ajue kuuweza mwili wake katika utakatifu na heshima; si katika hali ya tamaa mbaya, kama Mataifa wasiomjua Mungu (1 The 4:3-5). Kwa hiyo Shekemu alivyomtendea Dina ni jambo baya sana machoni pa Yakobo na wana wake. Akalala naye, akambikiri (m.2), tafsiri yake halisi ni "akalala naye kwa nguvu," yaani, alimbaka! Kwa hiyo wakawa na uchungu sana, maana iliyofanyika ni neno lisilojuzu kutendeka (m.7), yaani, lilikuwa mwiko! Je, wewe umetii amri?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Januari/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa situ husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure.
More
Related Plans

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track

Jesus Is Our "Light of the World"

Made for More

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

Love People?!

Move People Through God Alone
