Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Hukumu ya Mungu juu ya Misri itafanyika kwa kutumia jeshi la Babeli, kama anavyosema mwenyewe katika m.10: Nitaukomesha wingi wa watu wa Misri, kwa mkono wa Nebukadreza, mfalme wa Babeli. Jeshi hili lilitumika kuadhibu Tiro na kutawala mji huu miaka 13, bila malipo yoyote. Mungu anaonyesha haki zake hata kwa taifa lisilomjua. Jeshi hili linalipwa kwa kuruhusu kuiharibu kabisa Misri. Mungu haonyeshi huruma kwa yeyote mwenye kiburi. Adhabu yake itaonyesha kwamba yeye ndiye Bwana. Lakini Mungu ana shauku kubwa ya kufadhili pia. Zingatia ahadi yake katika m.21: Siku ile nitawachipushia nyumba ya Israeli pembe. “Pembe” ni mfano wa wokovu na ukombozi.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Every Thought Captive

3 - LORD'S PRAYER - the Lord´s Requirements

As He Purposeth in His Heart by Vance K. Jackson

The Origin of Our Story

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

The Rapture of the Church

Philippians - Life in Jesus

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way
