Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Wakati fulani nilidhani sheria za nchi na mahakama hutoa haki. Siku moja nilishtakiwa kwa madai ya kusingiziwa. Nilionekana mwenye hatia. Kumbe wanadamu hawawezi kujua ukweli wa mioyo ya watu!! Mungu ajuaye mioyo kwa ukamilifu, ndiye pekee awezaye kutoka hukumu ya haki. Wanyenyekevu wake wapaswa kufarijika kwa ukweli huu. Bwana ni ngao yao. Atawaokoa – kama ilivyoandikwa katika m.10: Ngao yangu ina Mungu, awaokoaye wanyofu wa moyo. Kwa upande mwingine, wanaowatendea mabaya wenzao watetemeke mbele zake kwa hofu na kicho, kwani Bwana ni mwenye ghadhabu juu ya ubaya.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Every Thought Captive

3 - LORD'S PRAYER - the Lord´s Requirements

As He Purposeth in His Heart by Vance K. Jackson

The Origin of Our Story

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.

The Rapture of the Church

Philippians - Life in Jesus

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way
