Soma Biblia Kila Siku 11/2024Sample

Tusikubali dhambi ijulikanayo kuwepo katika kanisa letu bila kuchukua hatua ya kumsaidia mwenye shida. Wakristo tu mwili wa Kristo, tumeunganishwa pamoja kwa Roho Mtakatifu, tunategemeana. Kwa hiyo hatuwezi kusema "shauri lake" juu ya shida ya Mkristo mwenzetu. Mkono wako ukipata kuumia, hata mwili wako mzima unaumia. Mwili hauna raha, bali utajitahidi sana kuusaidia mkono. Leo Yesu anatupa mwongozo wa namna ya kusaidiana. Huenda mwongozo huu umeandikwa pia katika katiba ya kanisa lako.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 11/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Kumi na moja pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Mathayo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

You Say You Believe, but Do You Obey?

Rebuilt Faith

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Sharing Your Faith in the Workplace
