Soma Biblia Kila Siku 08/2024Sample

Sedekiaakafanya yaliyo mabaya machoni pa Bwana, Mungu wake; wala hakujinyenyekesha mbele ya Yeremia nabii aliponena kwa kinywa cha Bwana(2 Nya 36:12), baliakamwasi mfalme wa Babeli(2 Fal 24:20). Nabii Yeremia alitabiri kuwa ikiwa Wayuda wangeungana na Misri dhidi ya Babeli itaamsha tu hasira ya Wababeli, na baadaye wangerudi kwa nguvu na kuiteka Yuda. Utabiri huo ulibezwa na wenyeji wa Yerusalemu, wakamfunga Yeremia gerezani (tafuta mwenyewe Yer 37:1-38:28 ili kusoma habari hizi).Ila Neno la Mungu halifungwi. Unabii wa nabii ukatimia baada ya muda mfupi. Hii itufundishe kutopingana na watumishi waliotumwa na Mungu kutuonya tunapokosea.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 08/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Nane pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Wafalme na 1 Timotheo. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

You Say You Believe, but Do You Obey?

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Never Alone

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

The Holy Spirit: God Among Us

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen
