Soma Biblia Kila Siku 08/2024Sample

Sheria haimhusu mtu wa haki(m.9), maana yake ni nini? Jibu ni kwamba tunaokolewa kwa neema. Haki yetu yapatikana kwa kumwamini Yesu Kristo. Si kwa matendo, kwa sababu hakuna awezaye kutimiza sheria. Kazi ya sheria ni kutuonyesha makosa yetu ili tutubu dhambi zetu na kumtegemea Kristo tu. Alifanya yale tuliyoshindwa kufanya alipokufa msalabani. Hii ndiyo habari njema inayokubaliwa na sheria, kwamba tuko huru toka mashtaka yake. Umkubali Yesu Kristo kama mwokozi wako, nawe utakuwa na amani.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 08/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Nane pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Wafalme na 1 Timotheo. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Never Alone

The Holy Spirit: God Among Us

Sharing Your Faith in the Workplace

Everyday Prayers for Christmas
