Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Tunaonywa dhidi ya ubishi wa maneno yasiyofaa. Maneno mara nyingi yamefarakanisha watu na kuleta mauvivu, mafarakano na ugomvi. Ni fundisho jema kwetu kuacha kulumbana katika maneno. Tunapaswa kujionyesha kuwa watendakazi wa Mungu kwa kusimamia neno lake la kweli. Ujumbe huu unafaa hasa kwa wakati wetu ambapo kuna mfumuko wa madhehebu. Mengi ya madhehebu haya ni matokeo ya maneno yasiyo na faida. TukumbukeMungu awajua walio wake. Hao ndio wamwitao Yesu kuwa ni Bwana na kuuacha uovu, kama ilivyoandikwa katika m.19:Msingi wa Mungu ulio imara umesimama, wenye muhuri hii, Bwana awajua walio wake. Na tena, Kila alitajaye jina la Bwana na auache uovu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Rebuilt Faith

Sharing Your Faith in the Workplace

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

You Say You Believe, but Do You Obey?

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics
