Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Leo ni siku ya habari njema(m.9). Ni maneno ya wale wakoma ambao walitengwa kwa sheria za kidini ya Kiyahudi. Kama Wasamaria wakiwa na hali mbaya, bila shaka hali ya hao wanne ilikuwa mbaya zaidi. Kwa mtazamo wa kibinadamu, wazo lao halikuwa na tumaini, maana kwa Washami walikuwa adui wenye ugonjwa wa kuambukiza. Kumbe, Mungu huweza kutumia yeyote au chochote kuleta wokovu. Rudia m.9 ukiipima hali yako:Ndipo wakaambiana, Mambo haya tufanyayo si mema; leo ni siku ya habari njema, na sisi tunanyamaza; mkingoja hata kutakapopambazuka, madhara yatatupata; basi twende tukawaambie watu wa nyumba ya mfalme.Je, wewe unayo habari njema? Unawashirikisha wengine au unatumia muda kwa mambo ya binafsi tu?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

How Is It With Your Soul?

Honest to God

The Letter to the Philippians

The Discipline of Study and Meditation

How to Love Your Work and God

Lighting Up Our City Video 2: Avoiding Insider Language

House of David, Season 2: Trusting God in the Middle of the Story

How to Love Like Jesus

Reimagine Transformation Through the Life of Paul
