Soma Biblia Kila Siku 02/2024Sample

Sheria ya jino kwa jino ilikuwa ni mwongozo kwa watoa hukumu kama mahakimu na majaji. Kulipiza kisasi si haki. Adhabu hutolewa kulingana na uzito wa kosa. Lengo la adhabu ni kuzuia matendo ya kikatili na kishenzi katika mahusiano yetu. Yesu anatumia kanuni hii ya adhabu kutufundisha tusitendeane ovu kwa ovu (ukiwa na nafasi, soma Yesu anavyosema katika Mt 5:38-48). Hivyo, wote wanaohusika na kutoa maamuzi wanapaswa kuomba hekima kabla ya kutoa hukumu juu ya wakosaji. Adhabu bora ni ile inayolenga kurekebisha na kuokoa na si kuangamiza.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 02/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Never Alone

The Holy Spirit: God Among Us

Everyday Prayers for Christmas

You Say You Believe, but Do You Obey?

The Bible in a Month

Sharing Your Faith in the Workplace
