YouVersion Logo
Search Icon

Soma Biblia Kila Siku 02/2024Sample

Soma Biblia Kila Siku 02/2024

DAY 8 OF 29

Taratibu na sheria za maisha, hata zile za kimahakama, msingi wake ni Neno la Mungu. Sheria nyingi za haki zinatokana na Biblia takatifu. Mungu ameweka sheria na kanuni za maisha ili kumfanya binadamu aishi maisha ya utaratibu na amani. Mungu anapenda tuishi kwa upendo, kwa hiyo anatuagiza kuheshimiana na kulindana. Sheria ya jino kwa jino ni mwogozo kwa wanasheria wa kidunia. Kila unapokuta unataka kulipa kisasi, jifunze kwa Yesu ili ujue jinsi ya kuwatendea wanaokukosea. Ukiwa na nafasi, soma pia Mt 5:38-48.

About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 02/2024

Soma Biblia Kila Siku 02/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu

More