Soma Biblia Kila Siku 02/2024Sample

Maskini, watoto, wageni, wajane, na yatima ni makundi ya wanadamu yanayohitaji kutazamwa kipekee. Hawa wote wanahitaji kutendewa haki na wema (unaweza kulinganisha na Mt 25:35-42 kwa uelewa zaidi). Mungu anahusika sana na watu wanyonge. Watu wote waliokombolewa wanaonywa wasiwatendee wengine isivyo haki:Usimwonee mgeni, wala kumtendea jeuri; kwa kuwa ninyi mlikuwa wageni katika nchi ya Misri(m.21). Mungu amewaweka Wakristo popote walipo ili wachukue wajibu mzito wa upendo. Ni pamoja na kuwajali na kuwahudumia watu walio katikati yao ambao hawana makao, ni wafungwa au wanapungukiwa hata mahitaji ya lazima.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 02/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

The Holy Spirit: God Among Us
