Soma Biblia Kila Siku 02/2024Sample

Mungu ameagiza binadamu apumzike kufanya kazi kila baada ya siku sita. Vivyo na uumbaji mwingine kama wanyama na mashamba, unaamriwa upumzishwe. Mashamba yapumzishwe kila mwaka wa saba. Tendo hili huitwa Jubilii. Ni mpango wa Mungu ili kuutunza na kuuhifadhi uumbaji wake. Kupumzisha uumbaji hupaswa kuambatane na ibada ya shukrani yenye kumtolea Mungu mavuno ya mazao mbalimbali. Je unafuata na kutekeleza vema agizo la Mungu la kupumzika na kupumzisha? Mashamba na wanyama wanapata haki hii?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 02/ 2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa Februari pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Kutoka. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

The Holy Spirit: God Among Us
