Soma Biblia Kila Siku Disemba/2022Sample

Kizazi hiki ni kizazi kibaya; kinatafuta ishara (m.29). Wayahudi walikuwa na mioyo migumu sana. Walibarikiwa kipekee sana. Mwana wa Mungu yu katikati yao na kufanya miujiza mingi. Hata hivyo wengi hawataki kuamini. Bado wanataka ishara zaidi. Lakini kutaka hivyo ni kumjaribu, kama ilivyoandikwa katika m.16, Walimjaribu, wakimtaka ishara itokayo mbinguni. Ndiyo maana Yesu akawaambia, Ikiwa mimi natoa pepo kwa kidole cha Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajilia (m.20). Ukweli ni kwamba wao wametawaliwa na Shetani wala siye Yesu. Kwa maana Yesu anasema, Mtu ambaye si pamoja nami yu kinyume changu; na mtu asiyekusanya pamoja nami hutawanya (m.23). Je, wewe kweli u pamoja naye?
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Disemba/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Disemba pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Luka na Zaburi. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Missionaries in the Marketplace

How to Know Jesus Personally – Start Your Faith Journey Today

Pray, Lament, Worship and Repent With Psalm 25

Connect With God Through Expression | 7-Day Devotional

10 F-Words for the Faith-Driven Entrepreneur

Arid Hearts Lush Hearts

Lessons From Ezra

Is There Hope for My Marriage? One Good Reason to Stay Together

A Christian Parent's Guide to Navigating Youth Sports
