Soma Biblia Kila Siku Julai/2022Sample

Itakuwaje Mungu kukaa kati yao alivyoahidi (2:10, Tazama, ninakuja, nami nitakaa kati yako, asema Bwana), wakati taifa zima la Israeli limekosa? Uovu wao Zekaria anauona kimfano, akiangalia nguo chafu za Yoshua, kuhani mkuu na mwakilishi wao wote. Shetani amejihudhurisha kwenye kesi ili kumshtaki Yoshua. Lakini mteteaji wake yupo pia. Malaika wa Bwana anamwondolea uovu kuhani mkuu, akimvika vazi lisilo na waa badala ya lile chafu. Malaika wa Bwana anatenda kama Yesu aliye kipatanisho kwa dhambi zetu. Mavazi safi yawakilisha utakatifu. Umvae Kristo.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Julai pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Zakaria na Luka. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Game Changers: Devotions for Families Who Play Different (Age 8-12)

Legacy Lessons W/Vance K. Jackson

Awakening Faith: Hope From the Global Church

Protocols, Postures and Power of Thanksgiving

Rebuilt Faith

God's Book: An Honest Look at the Bible's Toughest Topics

30 Powerful Prayers for Your Child Every Day This School Year

24 Days to Reflect on God's Heart for Redemption

You Say You Believe, but Do You Obey?
