Soma Biblia Kila Siku Julai/2022Sample

Zekaria ni miongoni mwa manabii wa taifa la Israeli. Ujumbe wake ni wa kihistoria (m.1) na wa kweli: Mungu alitenda alivyosema. Kwa hiyo anawahoji waliomsikiliza Zekaria: Maneno yangu, na amri zangu nilizowaagiza hao manabii, watumishi wangu, je! Hazikuwapata baba zenu? Nao wakageuka na kusema, Vile vile kama Bwana wa majeshi alivyoazimia kututenda, sawasawa na njia zetu, na sawasawa na matendo yetu (m.6). Sasa anawaita watu watubu vivyo hivyo. Waungame uovu wao kabla hawajaadhibiwa. Nirudieni mimi, asema BWANA wa majeshi, nami nitawarudia ninyi … Msiwe ninyi kama baba zenu (m.3-4). Tukubali historia itufundishe. Neno la Mungu lipo, likitenda kazi. Toba ya kweli ni kurudi kwa Bwana. Pasipo kurudi kuna majuto. Tunaitwa kulishika kwa kuliamini, kulitii na kuliishi.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Julai pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Zakaria na Luka. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Carried Through Cancer: Five Stories of Faith

It Starts With One

The Legacy of a Man – It Starts Today

Go After Jesus: The Adventure of a LIfetime!

Matthew's Journey: 'The Gifts You Have' (Part 4)

30-Day Marriage Class by Vance K. Jackson

Hospitality and the Heart of the Gospel

Acts 22:22-30 | in God's Hands

When Grief and Loss Become a Spiritual Battlefield
