Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Tuwapo duniani tutambue kuwa tu wasafiri. Uwenyeji wetu uko mbinguni. Tujihadhari na watu watafutao kujinufaisha kwa mafundisho yapotoshayo. Sisi twajua Kristo yuko mbinguni ambako atatupeleka atakapotujia mara ya pili, tukaishi naye tukiwa na miili mipya ya utukufu, ambayo atatuvika kwa uweza wake mkuu. Basi na tufuate mfano wa Paulo ili tusikose kuwa na Bwana wetu Yesu Kristo aliyetununua kwa kifo chake, na akawa mshindi wa mauti kwa ajili yetu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

The Holy Spirit: God Among Us

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life
