Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Kristo Yesu ni haki ile itokayo kwa Mungu. Kwa hiyo kumjua yeye, yaani kumwamini Kristo na kutambua uweza wake uliojitukuza katika kufufuka kwake, ni jambo la maana na msingi imara kwetu. Paulo analitamani hilo, na anawaita Wafilipi na sisi tulichuchumilie. Maana kutambua hivyo kwatupatia faida ipitayo faida ya mambo yote yapatikanayo nje ya Kristo. Kila aliye na Kristo kwa njia ya imani, atakubaliwa na Mungu na kuifikia kiyama ya wafu, yaani kupewa uzima wa milele.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

The Holy Spirit: God Among Us

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

The Bible in a Month

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Everyday Prayers for Christmas

Sharing Your Faith in the Workplace

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen
