Soma Biblia Kila Siku Juni/2022Sample

Israeli alipokuwa akikaa katika nchi ile, Reubeni akaenda akalala na Bilha, suria wa babaye; Israeli akasikia habari(m.22). Biblia ni kitabu cha ajabu! Inatuambia ukweli wa mtu bila kuficha mema na mabaya. Ni kwa sababu ni Neno la Mungu, ni neno la ukweli! Israeli alisikia tendo baya alilolifanya Reubeni. Hatujui alichukua hatua gani. Ila baadaye alipotoa baraka kwa wana wake, tendo hilo lilimwondolea Reubeni haki ya mzaliwa wa kwanza (49:3-4,Reubeni, u mzaliwa wangu wa kwanza, nguvu zangu, na malimbuko ya uwezo wangu. Umewapita wengine kwa ukuu na kwa nguvu. Umeruka mpaka kama maji, basi usiwe na ukuu, kwa sababu ulikipanda kitanda cha baba yako, ukakitia unajisi; alikipandia kitanda changu). Mungu ni Mtakatifu!Kama yeye .. alivyo mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote; kwa maana imeandikwa, Mtakuwa watakatifu kwa kuwa mimi ni mtakatifu(1 Pet 1:14-15).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Juni pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa siku husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Wafilipi na Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure
More
Related Plans

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Never Alone

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

The Holy Spirit: God Among Us

Everyday Prayers for Christmas

The Bible in a Month

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life
