Soma Biblia Kila Siku Juni 2021Sample

Ametenda mambo yote vema (m.37). Ili kuelewa vizuri zaidi habari hizi za uponyaji tujue kwamba ”watoto” anaowazungumzia Yesu katika m.27 ni mfano wa Wayahudi (Akamwambia, Waache watoto washibe kwanza; maana si vizuri kukitwaa chakula cha watoto, na kuwatupia mbwa). Yesu anasema wana haki ya kwanza kusikia Injili (ling. Mt 15:24 anaposema, Sikutumwa ila kwa kondoo waliopotea wa nyumba ya Israeli). Neno ”mbwa” lingetakiwa kutafsiriwa "mbwa wadogo". Si mbwa wanaozungukazunguka, bali wako nyumbani kwa mtu. Hao ni mfano wa watu wasio Wayahudi. Yesu ”akaugua”, yaani anaona uchungu kwa ajili yule bubu. Kwanza anamfanyia vitendo ili aelewe Yesu anataka kumfanyia nini. Ndipo Yesu anamponya kwa neno.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Juni 2021 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Marko na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Sharing Your Faith in the Workplace

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Never Alone

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

The Bible in a Month
