Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Wanafunzi wa Yesu walipomwagiwa Roho Mtakatifu walisimama kwa ujasiri wakizungumza kwa lugha za kila aliyekuwepo. Watu waliendelea kuwasikiliza wakaelewa watu hao hawajalewa kwa mvinyo, bali ni unabii unaotimia mbele yao. Petro anawaonyesha mambo manne katika Neno la Mungu: 1) Kusudi la Mungu lilitimia walipomsulubisha Yesu. 2) Mungu amemfufua. 3) Kifo hakiwezi kumfunga Yesu tena, wala yule anayemwamini. 4) Roho Mtakatifu ni kwa ajili yao. Mioyo ya watu ilipoguswa, wengi wakatubu na kubatizwa.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Lead Through Prayer

Peace on Earth: A 5-Day Advent Devotional

Transformational Days of Courage for Women

The Book of Psalms (30-Day Journey)

Unapologetically Sold Out: 7 Days of Prayers for Millennials to Live Whole-Heartedly Committed to Jesus Christ

God Says I Am: Embracing Peace & Walking in Power

When You’re Desperate: 21 Days of Honest Prayer

Lost Kings | Steward Like a King

Come Holy Spirit
