Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Sauti ya Mungu hutuita katika hali mbalimbali. Inatuita hata sasa kwa njia ya neno hili la leo. Lengo la Mungu ni kutushauri tuache ujinga, upumbavu na dharau. Kutoisikiliza sauti ya Mungu ndiko kunakosababisha kukosa utii kwake. Matokeo ya kutotii ni kutengwa na Mungu. Tunapohitaji msaada kwake hatatusikiliza. Hakuna kitu kichungu kuliko kuachwa na Mungu. Ukikosa Mungu, utapata wapi kimbilio? Mtii Mungu, na utakuwa na amani na mafanikio. Rudia m.23 ukizingatia maana yake katika maisha yako: Geukeni kwa ajili ya maonyo yangu; Tazama, nitawamwagia roho yangu, Na kuwajulisheni maneno yangu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Lead Through Prayer

Peace on Earth: A 5-Day Advent Devotional

The Lies We Believe: Beyond Quick Fixes to Real Freedom Part 2

FruitFULL - Faithfulness, Gentleness, and Self-Control - the Mature Expression of Faith

Judges | Chapter Summaries + Study Questions

Let Us Pray

Ruth | Chapter Summaries + Study Questions

Faith in Hard Times

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening
