Soma Biblia Kila Siku 6Sample

Ila watu hao wamekwisha kutangulia wakatungojea Troa (m.5). Hapa tunaona kwamba Luka aliye mwandishi wa kitabu hiki mwenyewe alikuwa pamoja na Paulo katika safari hii (wakatungojea). Yaani ni shahidi wa mambo haya. Jambo hili pia tunaona katika safari yake ya pili (16:10-16). Luka alikuwa mtu aliyekuwa karibu sana na Paulo kwa hiyo alijua vizuri sana habari za safari zake (2 Tim 4:11; Flm 24). Tena ni mtu mwenye elimu (daktari; Kol 4:14). Uyunani(m.2) ni upande wa kusini mwa Makedonia (k.m. sehemu za Athene na Korintho).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 6 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku pamoja na maelezo yatakayokusaidia kutafakari na kuelewa Neno la Mungu kwa urahisi.
More
Related Plans

Lead Through Prayer

Peace on Earth: A 5-Day Advent Devotional

The Lies We Believe: Beyond Quick Fixes to Real Freedom Part 2

FruitFULL - Faithfulness, Gentleness, and Self-Control - the Mature Expression of Faith

Judges | Chapter Summaries + Study Questions

Let Us Pray

Ruth | Chapter Summaries + Study Questions

Faith in Hard Times

Breath & Blueprint: Your Creative Awakening
