Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku /Septemba 2023Mfano

Soma Biblia Kila Siku /Septemba 2023

SIKU 22 YA 30

Ni baraka na fanaka kunapokuwapo watu wanaoujua wema na haki miongoni mwa jamii. Hawa huwa viongozi waongozao bila dhuluma, ubadhirifu, ubinafsi, chuki wala kisasi. Waovu wanapotawala huleta vurugu na kutoweka kwa amani kwa wote. Waijuao haki huongoza na kutoa hukumu kwa huruma (1 Tim 5:20,Wale wadumuo kutenda dhambi uwakemee mbele ya wote, ili na wengine waogope). Ombea taifa lako ili Mungu alioneshe viongozi wanaoijua haki na kuishi kwayo. Mtafute Bwana ili uwe na haki hiyo wewe mwenyewe. Itakuwezesha kupigana na uovu.Wao waiachao sheria huwasifu waovu; bali wao waishikao hushindana nao. Watu wabaya hawaelewi na hukumu; bali wamtafutao Bwana huelewa na yote(m.4-5).

siku 21siku 23

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku /Septemba 2023

Soma Biblia Kila Siku /Septemba 2023 ni mpango mzuri wa kusoma biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa septemba pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi k...

More

Tungependa kuwashukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: https://www.somabiblia.or.tz/

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha