Chapa ya Youversion
Ikoni ya Utafutaji

Maelezo ya mpango

Soma Biblia Kila Siku 4Mfano

Soma Biblia Kila Siku 4

SIKU 2 YA 30

Tunaweza kufikiri kuwa Farao kweli aliungama dhambi zake na kumgeukia Mungu. Lakini sivyo. Alishtuka tu alipoona maajabu ya Mungu, na kuogopa ile hali ya mvua ya mawe iliyoweza kumwua mtu yeyote asiyekuwamo nyumbani mwake. Ila mara mvua ya mawe ilipokoma, na hali ile ya kushtuka ilikuwa imetoweka, moyo wake ulikuwa tena na hali ileile ya kawaida. Tusichunguze mioyo ya watu. Hata hivyo tujue: Moyo wa mtu ni mdanganyifu sana(Yer 17:9). Tuna silaha moja tu. Neno la Mungu lihubiriwe ili uamsho uwe wa kweli!

siku 1siku 3

Kuhusu Mpango huu

Soma Biblia Kila Siku 4

Soma Biblia Kila Siku 4 inakupa mpango wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu, hasa kutoka Kitabu cha Kutoka, na 1 Wathesalonike, pamoja na maelezo juu ya somo hilo.

Tungependa kushukuru Soma Biblia kwa kutoa mpango huu. Kwa habari zaidi, tafadhali tembelea: http://www.somabiblia.or.tz

YouVersion hutumia vidakuzi kubinafsisha matumizi yako. Kwa kutumia tovuti yetu, unakubali matumizi yetu ya vidakuzi kama ilivyoelezwa katika Sera yetu ya Faragha