Soma Biblia Kila Siku 03/2025Sample

Si halali kwako kuwa na mke wa nduguyo(m.18). Kwa maneno haya Yohana Mbatizaji alikuwa amekemea dhambi ya Mfalme Herode. Ilikuwa ni hatari kubwa, lakini Yohana alimwogopaMungukuliko wanadamu. Na kweli, Mfalme Herode alikasirika, akamfunga Yohana gerezani. Mwisho Yohana akauawa, ila Herode mwenyewe hakupenda iwe hivyo,maana Herode alimwogopa Yohana; akimjua kuwa ni mtu wa haki, mtakatifu(m.20).Fundisho: Sifa nzuri ya mtumishi wa Bwana ina nguvu kubwa katika jamii! Yesu amelifafanua namna hii:Nuru yenu na iangaze mbele ya watu, wapate kuyaona matendo yenu mema, wamtukuze Baba yenu aliye mbinguni(Mt 5:16).
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 03/2025 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi Machi pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha Marko, 1 Nyakati na Isaya. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Living Like Jesus in a Broken World

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Seasons of Hardship: Live the Jesus Way

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

UNPACK This...Being a Good Teammate in Life

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

Am I Really a Christian?

Don’t Know What You’re Doing After Graduation? Good.
