Soma Biblia Kila Siku 06/2024Sample

Kutokuwa na imani huzuia mtu kuhusika na kushiriki wakati BWANA anapotuma msaada wake. Baada ya mfalme kujiridhisha kuwa Washami wamekimbia na kuacha chakula na utajiri mwingi, milango ya mji ilifunguliwa, na watu waliokuwa na njaa walikwenda kwa kasi kuteka nyara ya Washami. Ndipo mlinzi wa mfalme aliyedharau na kutoamini maneno ya Elisha alikanywagwa kanyagwa na kufariki. Aliona ukombozi wa Mungu, lakini hakushiriki baraka zake. Tusiwe wa kukataa na kudharau Neno la Mungu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 06/2024 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu kwa mwezi wa sita pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kutafakari somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi kitabu cha 2 Timotheo na 2 Wafalme. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Who Am I, Really? Discovering the You God Had in Mind

Overcoming the Trap of Self-Pity

Am I Really a Christian?

Drive Time Devotions - Philippians

Positive and Encouraging Thoughts for Women: A 5-Day Devotional From K-LOVE

16 Characteristics of the God-Kind of Love - 1 Corinthians 13:4-8

Faith @ Work

Reimagine Influence Through the Life of Lydia

Faith in Trials!
