Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Macho ya Bwana MUNGU yanauangalia ufalme wenye dhambi, nami nitauangamiza utoke juu ya uso wa dunia(m.8). Kauli hii yaeleza kwa ufupi ujumbe mzima wa mistari hii tuliyosoma. Haiwezekani kujiepusha na hukumu ya Mungu. Ni kauli ya kutisha, na ni malipo halali kwa watenda dhambi. Mungu anasema,Wenye dhambi wote katika watu wangu watakufa kwa upanga, hao wasemao, Mabaya hayatatupata nyuma wala mbele(m.10). Tena ni kipimo halali kwa jeuri dhidi ya Mungu. Pia ni tahadhari ya mwisho kwetu tuliopendwa, lakini tukajiendea kwa njia za uhuru haramu. Neno laonya katika Ufu 2:5,Kumbuka ni wapi ulikoanguka; ukatubu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
