Soma Biblia Kila Siku Julai 2023Sample

Fungu hili la maneno linatupa mambo matatu aliyopata kuyaona Amosi kuhusu hukumu ya Mungu: Nzige, moto na timazi. Nabii alipowaombea watu wake, nzige na moto zilikoma. Naye akaendelea kuwaombea mpaka Mungu aliposema,Sitawahurumia tena(m.8 tafsiri ya NENO; timazi ni mfano wa kupima kama watu wana unyofu wa maisha). Mungu anatusihi maombezi yafanyike kwa ajili ya watu wote ili uwepo utulivu na amani nchini, nao waokolewe. Anasema,Kabla ya mambo yote, nataka dua, na sala, na maombezi, na shukrani, zifanyike kwa ajili ya watu wote; kwa ajili ya wafalme na wote wenye mamlaka, tuishi maisha ya utulivu na amani, katika utauwa wote na ustahivu. Hili ni zuri, nalo lakubalika mbele za Mungu Mwokozi wetu; ambaye hutaka watu wote waokolewe, na kupata kujua yaliyo kweli(1 Tim 2:1-4). Ni wajibu wa watu wateule kuombea taifa lao mambo hayo.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Julai 2023 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu pamoja na maelezo mafupi ya kukusaidia kuelewa somo ulilosoma. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Kutoka na Amosi Karibu kujiunga na mpango huu.
More
Related Plans

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Never Alone

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

Sharing Your Faith in the Workplace
