Kuomba Kulingana Na Majina Yake Yesu: Nyota Ya AsubuhiSample

Nyota ya Asubuhi: Maombi ya Kuabudu
“Mimi, Yesu, nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo haya kwa ajili ya makanisa. Mimi ndiye mzizi na mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi.” Ufunuo 22:16
Yesu, ninakuabudu na ninalisifu jina lako, ee nyota angavu ya asubuhi.
Wewe ni mzizi na uzao wa Daudi. Umewatuma malaika wako kushuhudia nguvu na uwezo wako. Na tuwe na masikio ya kusikia na kupokea jina hili lako.
Katika jina hili, tunagundua nuru yako. Tunagundua uwepo wa mwongozo unaotoa. Tunafunua nuru ya hekima yako na mwelekeo utokao kwenye Neno lako. Ninakuheshimu kwa hekima, kweli na mwongozo wako ambao ninautegemea kila wakati wa siku yangu.
Ninakuabudu kwa jinsi unavyotafuta kutujulisha kila mmoja wetu utimilifu wa jina hili kuu.
Naomba haya kwa jina lako, Amina.
Scripture
About this Plan

Dk. Tony Evans anatoa maombi ya jina la Yesu, nyota ya asubuhi. Sala ya kuabudu, maungamo, shukrani na dua kumhusu Nyota ya asubuhi, Yule anayeangazia njia yetu.
More
Related Plans

Simon Peter's Journey: 'Grace in Failure' (Part 1)

Biblical Wisdom for Making Life’s Decisions

When You Feel Like Roommates: 4 Day Plan to Help You Love (And Like) Your Spouse for Life

Never Alone

Two-Year Chronological Bible Reading Plan (First Year-January)

Gospel-Based Conversations to Have With Your Preteen

Sharing Your Faith in the Workplace

Everyday Prayers for Christmas

The Holy Spirit: God Among Us
