Soma Biblia Kila Siku Januari/2022Sample

Yakobo akaondoka, akapandisha wanawe na wakeze juu ya ngamia ... ili afike kwa Isaka babaye katika nchi ya Kanaani ... akamhadaa Labani, Mshami, kwa kuwa hakumwambia ya kwamba anakimbia (m.17-18 na 20). "Kumhadaa" maana yake ni kumdanganya au kumfanyia ujanja. Ilikuwa hatua ngumu sana kwa Yakobo. Tusisahau kwamba Labani ni mjomba wake! Lakini alipata nguvu na ujasiri, maana Mungu mwenyewe alimwagiza kuondoka (m.3 na 13, Bwana akamwambia Yakobo, Urudi mpaka nchi ya baba zako na kwa jamaa zako, nami nitakuwa pamoja nawe … Sasa ondoka, toka katika nchi hii, urudi mpaka nchi ile uliyozaliwa). Tena Lea na Raheli wakamwunga mkono (m.14-16, Raheli na Lea wakajibu, wakamwambia, Je! Imetubakia sehemu au urithi katika nyumba ya baba yetu? Hakutufanya kama wageni, maana ametuuza, naye amekula fedha zetu kabisa? … Basi yo yote Mungu aliyokuambia, uyafanye)!
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku Januari/2022 ni mpango wa kusoma Biblia sehemu kwa sehemu kila siku kwa mwezi wa Januari pamoja na maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa kwa urahisi na kuendelea kutafakari neno la Mungu ulilosoma kwa situ husika. Katika mpango huu utasoma zaidi katika kitabu cha Mwanzo. Karibu kujiunga na mpango huu na usome bure.
More
Related Plans

Parables of Grace: Embrace God’s Love for You

Anchored: The Life and Letters of the Apostle Peter

Live Your OWN Life With Conviction

Sundays at the Track

Jesus Is Our "Light of the World"

Made for More

Christosis: Participation in Christ and Imitation of Christ

Love People?!

Move People Through God Alone
