Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Taifa la Israeli lilipookolewa kutoka Misri lilirudishwa Kanaani. Likiwa pale liligawanyika kuwa mataifa mawili (Israeli na Yuda). Mataifa hayo yaliacha kumtegemea Mungu. Hiyo imeelezwa kimfano katika m.5-8 kama sawa na kufanya mambo ya kikahaba. Kwa vitendo hivyo, Ezekieli anawaita mataifa hayo “wanawake wawili, binti za mama mmoja”walioamua kuishi maisha ya kikahaba, mataifa ya Misri na Ashuru yakiwa wapenzi wao (m.1-5). Kumbe kitendo cha kuacha kumtegemea Mungu maishani mwetu ni sawa kabisa na kuwa kahaba wa kiimani. Maana tunapaswa kumtegemea Bwana mmoja tu (YAHWEH) na sio miungu mingine au watu tunaodhani ni msaada kwetu.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
