Soma Biblia Kila Siku 09/2020Sample

Siku ya maana sana imefika. Mfalme wa Babeli ameuzingira mji wa Yerusalemu. Nabii anatumia mfano katika m.3-5 wa sufuria litokosalo akimaanisha ukuta wa Yerusalemu kama sufuria na wenyeji wa mji huu kama nyama. Huenda watu wa taifa la Yuda waliobaki ndani ya kuta za Yerusalemu walidhani wako salama, lakini Ezekieli anatabiri kwamba majeshi ya Babeli watawashambulia na kuwaangamiza humohumo ndani. Wapo Wakristo ambao wamejificha kwenye majina ya kuitwa Wakristo, kumbe maisha yao ni ya kipagani. Siku ya hukumu ikifika majina yao wala kanisa havitakuwa msaada kwao.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 09/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha 2 Wakorintho na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Decide to Be Bold: A 10-Day Brave Coaches Journey

Hidden: A Devotional for Teen Girls

Does the Devil Know Your Name? A 10-Day Brave Coaches Journey

The Advent of HOPE and the Object of Our Faith.

Grace With a Taste of Cinnamon

A Christian Christmas

The Invitation of Christmas

How to Practice Gratitude in the Midst of Waiting by Wycliffe Bible Translators

Freedom in Christ
