Soma Biblia Kila Siku 07/2020Sample

Mfalme Herode anayezungumziwa katika somo la leo alikuwa ni mwana wa Herode Mkubwa ambaye alikuwa mfalme wa Uyahudi wakati Yesu alipozaliwa. Alikuwa ni mfalme wa Galilaya na alitawala miaka 43. Lakini alikuwa na udhaifu wake. Udhaifu wake ni wanawake. Alikanyaga haki ya Mungu alipomwoa Herodia, mke wa ndugu yake. Na alikanyaga haki alipotimiza maombi ya Herodia ya kupata kichwa cha Yohana Mbatizaji kwenye kombe. Herodia alitaka hivyo kwa sababu Yohana alikuwa amelikemea tendo la mfalme la kumwoa yeye.
Scripture
About this Plan

Soma Biblia Kila Siku 07/20 ni mpango mzuri wa kusoma Biblia kila siku sehemu kwa sehemu hasa katika kitabu cha Mathayo na Ezekieli. Mpango huu una maelezo mafupi yatakayokusaidia kuelewa zaidi Neno la Mungu. Karibu kujiunga na mpango huu
More
Related Plans

Recovering Hope: A 5-Day Devotional on the Intersection of Race, Mental Health, and Faith

Destined for the Cross

Overcoming Fear

Holy Week

Pray Like the Bible

Unfolding the Bible Story With Sherene

The Burning Altar - 14 Days of Calling the Church to Pray

Coming to Life: 30-Day Devotional

LIFE & BREATH
